Podcasts
Enjeux de société
An be kuma kankɔnɔdiimibana "diphtérie" de kan bi o min be ka ye Sénégal, Mauritanie ani Nigéria
9:57
Swahili (generic)
Podcasts
2026
Hali ya hewa ya El Niño inaendelea kuimarika kwa kasi na inatarajiwa kutawala katika kipindi cha kuanzia mwezi Agosti hadi Oktoba mwaka wa 2026, hali itakayoongeza uwezekano wa viwango vya joto kuzidi wastani katika maeneo mengi ya dunia na kusababisha mabadiliko makubwa katika mifumo ya mvua.
Mashirika ya hali ya hewa likiwemo lile la dunia WMO na KMD nchini Kenya, yameongeza utaratibu, huduma za taarifa za hali ya hewa na usaidizi wa tahadhari za mapema ili kusaidia serikali, mashirika ya kibinadamu, sekta zinazozingatia hali ya hewa kama vile kilimo na afya, na jamii zilizo katika mazingira magumu kujiandaa kwa athari zinazoweza kutokea.
Tumezungumza na wataalam, bofya hapo kusikiliza.
03 août 2026
Swahili (generic)
9 Mo