Podcasts
Enjeux de société
An be kuma kankɔnɔdiimibana "diphtérie" de kan bi o min be ka ye Sénégal, Mauritanie ani Nigéria
10:07
Swahili (generic)
Podcasts
2026
Kituo cha kuzuia na kudhibiti magonjwa barani Afrika ,Africa CDC kimeonya vifo vinavyohusishwa na usugu wa vimelea vinatarajiwa kuvuka milioni 4 mwaka wa 2050
Mashirika ya kikanda yanasisitiza utekelezwaji wa pamoja wa mikakati ya kukabiliana na usugu wa vimelea ikiwemo afya ya mifugo ,matumizi mazuri ya dawa za antibiotics na dawa za kunyunyuzia mimea kwenye sekta ya kilimo.
Watalaam wa afya wanaonya dawa hadi asilimia 70 zinatumika kwa wanyama na nyingi yazo huishia kwenye vyakula kama nyama,maziwa na hatimaye kusababisha usugu wa vimelea kwenye dawa zinazotumika kwa matibabu ya wanadaam
02 septembre 2026
Swahili (generic)
9 Mo