-
79
pages
-
Swahili (generic)
-
Ebooks
-
1984
Description
Mwandishi mmoja mashuhuri hapa duniani aliwahi kuandika katika kitabu chake, ‘No Money Smells’, kwamba hakuna pesa zinazonuka. Lakini mwandishi wa riwaya hii anadai “zipo, na zanuka”. Ni pesa zipi hizi? Na vipi zinuke? Hii ni riwaya nzito ya kihistoria. Mwandishi anaivulia jamii miwani na kuitazama kwa makini bila uoga, huku akimulika unafiki na ukatili uliofichika katika mioyo ya wengi. Hata anakutana na huyu ambaye anaambiwa: “Umemuua mwanao ... Lazima umle ... ” Ni riwaya ambayo itakutoa machozi!
-
Publié par
-
Date de parution
07 mai 1984
-
EAN13
9789966565969
-
Langue
Swahili (generic)
-
Poids de l'ouvrage
2 Mo